CHADEMA Watoa taarifa 'kupotea' kwa kiongozi wa BAVICHA

Chama cha Demokrasia Maendeleo (CHADEMA) kimeeleza kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa chama hicho (BAVICHA) Wilaya ya Ilala, Michael Kapama hajulikani alipo.

Chadema wameeleza mara ya mwisho Kapama kuonekana ni Januari 6 mwaka huu.


from MPEKUZI

Comments