CHADEMA Watoa taarifa 'kupotea' kwa kiongozi wa BAVICHA
on
Get link
Facebook
Twitter
Pinterest
Email
Other Apps
Chama cha Demokrasia Maendeleo (CHADEMA) kimeeleza kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa chama hicho (BAVICHA) Wilaya ya Ilala, Michael Kapama hajulikani alipo.
Chadema wameeleza mara ya mwisho Kapama kuonekana ni Januari 6 mwaka huu.
Comments
Post a Comment