BREAKING NEWS: Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Dkt. Irene Isaka

Rais Magufuli leo Disemba 28 ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Dkt. Irene Isaka

Taarifa ya Ikulu usiku huu imeeleza kuwa Dkt. Irene Isaka atapangiwa kazi nyingine.


from MPEKUZI

Comments