Ofa! ofa!, Viwanja vimeshuka bei: Bunju na Mapinga (Baobab Sec)

Ofa! ofa!, Viwanja vimeshuka bei: Bunju na Mapinga (Baobab Sec)

Kwa Mapinga, bei imeshuka kutoka tsh 15,000 mpaka tsh 12,000 kwa sqm moja. Hapa vipo viwanja vya (mita 20/20 = 4.8 mil), (mita 20/30 = tsh 7.2 mil), (mita 20/40 = tsh 9.6 mil), (mita 35/40 = tsh 16.8 mil ), (mita 30/50 = tsh 18 mil), (mita 40/50 = tsh 24 mil), (mita 40/60 = tsh 28.8 mil) na (mita 50/60 = tsh 36 mil )

Viwanja vyote viko umbali wa km 3 tu kutoka main road (Bagamoyo Road) na Luksa kulipa kwa awamu. Huduma za maji na umeme ziko karbu sana.

Kwa Bunju, tumeshusha bei kutoka tsh 35,000 mpaka tsh 30,000 kwa sqm moja. Bunju vipo viwanja vya (mita 20/30 = tsh 18 mil), (mita 30/40 = tsh 36 mil) na (mita 35/50 = tsh 51 mil)

Ukipata ujumbe huu mjulishe ndugu/jamaa/rafiki.
Hakuna dalali, contact mhusika: call 0758603077, whatsap 0757489709, email: menejadar@yahoo.com


from MPEKUZI

Comments