Breaking News: Mahakama Kuu Yatupilia Mbali Mapingamizi Ya Serikali....Rufaa Ya Mbowe Kusikilizwa Saa Nane Mchana

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali pingamizi za serikali za kuzuia rufaa ya dhamana iliyokatwa na Mwenyekiti wa Chadema Mh.Freeman Mbowe na Esther Matiko isisikilizwe na hivyo imeamua kusikiliza rufaa hiyo leo saa nane mchana.

Endelea Kuwa nasi


from MPEKUZI

Comments