Zoezi la ukoaji wa miili ya watu waliopoteza maisha katika Kivuko cha MV Nyerere bado linaendelea ambapo Vikosi Maalum vya uokoaji vya Jeshi la Polisi na Jeshi la Wananchi wa Watanzania (JWTZ) na Jeshi la Zimamoto na uokoaji vinaendesha zoezi hilo.
Hadi sasa idadi ya miili iliyopatikana imeongezeka na kufikia 94 zoezi la uokoaji bado linaendelea, hii ni kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella
from MPEKUZI
Comments
Post a Comment