LIVE: Rais Magufuli akizindua Flyover ya TAZARA

Mamia ya wananchi wamejitokeza kwenye sherehe za uzinduzi wa daraja la juu ‘flyover’ la Mfugale lililopo katika eneo la Tazara jijini Dar es Salaam.

Daraja hilo linazinduliwa rasmi leo Septemba 27, 2018 na Rais John Magufuli 

==>>Fuatilia tukio hilo hapo chini


from MPEKUZI

Comments