Kivuko cha MV Nyerere Kimeshaanza Kuvutwa....Tazama Hapa

Shughuli ya kukivutia nchi kavu kivuko cha Mv Nyerere kilichopinduka Septemba 20 imeanza.

Shughuli hiyo ilianza saa 5:21 asubuhi ya leo baada ya upepo mkali uliokuwa ukivuma katika Pwani ya gati ya kijiji cha Bwisya kisiwa cha Ukara kupungua kasi.

Pamoja na mitambo maalum ya kuvuta na kunyanyua vitu vizito, kazi hiyo pia inafanywa na meli kubwa ya mizigo ya Mv Nyakibalya ambayo imekibana ubavu wa kulia kivuko hicho ili kisipinduke tena wakati kikivutwa.


==>>Tazama Video Hapo Chini


from MPEKUZI

Comments