Kauli ya kwanza ya Msanii Maua Sama baada ya kutolewa mahabusu kwa Dhamana

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Maua Sama ameweza kufunguka na kueleza jinsi alivyopitia katika kipindi kigumu akiwa mahabusu. 

Maua Sama alikamatwa na Polisi wiki mbili zilizopita kwa tuhuma za kuidhihaki pesa ya Tanzania kwa kupost video inayoonesha watu wakizichezea pesa za kitanzania.

Juzi tarehe 25 Maua Sama na mtangazaji wa CloudsFm Soudy Brown waliachiwa majira ya saa moja usiku kwa dhmana.

Na hii ndio kauli yake:-


from MPEKUZI

Comments