Viwanja Vikubwa, Vimepimwa Na Vinauzwa: Bunju Na Mapinga (Baobab Sec)

Kwa upande wa Bunju, viko viwanja 2 vya ukubwa wa sqm 1700 kila kimoja na ukiviunganisha utapata kiwanja kimoja kikubwa zaidi cha sqm 3400 kwa bei ya sh 45 milion kwa kimoja  sawa na 90 milion kwa viwanja vyote viwili. Viwanja hivi vimegusa barabara kuu (Bagamoyo road) na tayari viko fenced.

Kwa upande wa Mapinga (Baobab secondary, Kimele na Vikawe), viko viwanja vingi, vya size tofauti kama ifuatavyo: sqm 3018 kwa tsh 39m, sqm 2386 kwa tsh 31m, sqm 1985 kwa tsh 25m, sqm 1573 kwa tsh 20m, sqm 1400 kwa tsh 20m, Kiharaka beach sqm 1000 kwa tsh 18m, sqm 800 kwa tsh 8m, sqm 400 kwa tsh 4m.

Ruksa kulipa kwa awamu 2 ndani ya miezi 3. Kianzio ni 50%

Viwanja vyote vimepimwa na hati ziko Halmashauri, unapatiwa ndani ya mwezi mmoja tu. Viwanja viko umbali wa km 3 kutoka Main road. Barabara, maji na umeme vipo sawa.

Hakuna dalali, mpigie mhusika: call 0758603077, whatsap 0757489709


from MPEKUZI

Comments