Picha: Wabunge wakisaini kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha Mh. Bilago.

Baadhi ya Wabunge wakisaini kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Buyungu Marehemu Kasuku Bilago.

Awali mapema leo Naibu Spika, Tulia Akson aliahirisha Bunge kutokana na Msiba huo, Mh. Bilago alifariki May 26, 2018 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo alikuwa akipatiwa matibabu.



from MPEKUZI

Comments