Vikosi vya Simba SC na Yanga SC vyatangazwa

Klabu ya Simba na Yanga  leo zinakabiliana kunako dimba la Uwanja wa Taifa ambapo  tayari vikosi vya timu zote mbili vimeshatangazwa.

Yanga wao watawakosa wachezaji wao muhimu kama Amis Tambwe na Donald Ngoma ambao wote ni majeruhi huku Simba ikiwa na wachezaji wake wote muhimu ambapo mashambulizi yataongozwa na Emmanuel Okwi na John Bocco.

Klabu ya Simba inaongoza ligi kwa pointi 59 ikifuatiwa na Azam FC wenye pointi 46 na Yanga ni ya tatu kwenye msimamo kwa alama 48.

Hata hivyo Simba imecheza michezo mingi 25 huku mahasimu wao wakiwa na viporo vya mechi mbili (23).
Kikosi cha Simba SC kitakachoanza dhidi ya Yanga SC,
 1. Youthe Rostand
2. Hassani Kessy
3. Gadiel Mbaga
4. Andrew Vicent
5. Kelvin Yondani
6. Saidi Juma
7. Yusufu Mhilu
8. Papy Tshishimbi
9. Obrey Chirwa
10. Rafael Daudi
11. Ibrahim Ajibu

Benchi
– Ramadhani Kabwili
– Abdallah Shaibu
– Juma Abdul
– Juma Mahadhi
– Maka Edward
– Pius Buswita
– Emanuel Martin


Kikosi cha Simba SC kitakachoanza dhidi ya Yanga SC, mechi ya Ligi Kuu Bara
1. Aishi Manula
2. Erasto Nyoni
3. Nicholas Gyan
4. Yusufu Mlipili
5. James Kotei
6. Jonasi Mkude
7. Asante Kwasi
8. Shomari Kapombe
9. John Bocco
10. Emanuel Okwi
11. Shiza Kichuya

Kikosi cha akiba

12. Mohamed Nduda
13. Paul Bukaba
14. Said Ndemla
15. Mzamiru Yassin
16. Laudit Mavugo
17. Rashid Juma
18. Mohamed Hussein


from MPEKUZI

Comments