Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2020 Mkoa wa Kilimanjaro

Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza wanafunzi waliochaguliwa kujiunga  na Kidato cha Kwanza  mwaka 2020  kuwa ni  701,038 sawa na asilimia 92.27 ya wanafunzi 759,000 waliofaulu.

Bonyeza Hapo Chini Kuona Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza Mkoa wa Kilimanjaro <<BOFYA HAPA>>


from MPEKUZI

Comments