Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza mwaka 2020 kuwa ni 701,038 sawa na asilimia 92.27 ya wanafunzi 759,000 waliofaulu.
Bonyeza Hapo Chini Kuona Majina. <<BOFYA HAPA>>
from MPEKUZI
Comments
Post a Comment