Rais Magufuli Pamoja Na Mkewe Mama Janeth Magufuli Wasali Misa Takatifu Dominika Ya Pili Ya Majilio Katika Kanisa Kuu La Epifania Parokia Ya Bugando Jijini Mwanza

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufuli wamejumuika pamoja na waumini wengine wa Kanisa Kuu la Epifania Parokia ya Bugando jijini Mwanza  katika Misa Takatifu ya Dominika ya pili ya Majilio iliyoongozwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza Mhashamu Renatus Nkwande leo tarehe 8/12/2019.



from MPEKUZI

Comments