LIVE: Rais Magufuli Akiweka Jiwe La Msingi Ujenzi Wa Daraja La Kigongo Busisi Jijini Mwanza

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli anaweka jiwe la msingi Ujenzi wa Daraja la Kigongo - Busisi lenye urefu wa 3.2 kilometa katika Ziwa Vitoria  litakalounganisha Mkoa wa Mwanza na Geita.


from MPEKUZI

Comments