PICHA: Rais wa Shelisheli Danny Faure Awasili Nchini kwa ajili ya kushiriki mkutano wa 39 wa SADC

Rais wa Shelisheli Danny Faure, amefika nchini na kupokelewa na Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa, kwa ajili ya kushiriki mkutano wa 39 wa SADC utakaofanyika kesho.

Rais Faure ni Rais wa pili kuja nchini baada ya kutanguliwa na Rais wa Afrika Kusini


from MPEKUZI

Comments