Ujumbe wa Chuchu Hansy kwenye Birthday ya Ray Kigosi

Msanii wa  Bongo Movie, Chuchu Hansy amefunguka kuhusu mzazi mwenzake Vicent Kigosi (Ray), kuwa baada ya kupata mtoto wao aitwaye Jaden, Ray alijiona baba mpaka wa watoto waliokomaa.

 Chuchu amefunguka hilo leo kupitia ukurasa wake wa Instagram wakati akimtakia heri ya siku ya kuzaliwa mzazi mwenzake huyo.

“Happy Birthday baba @jadenthegreatest baba mwenye jeuri zako baada ya kupata mtoto ukajiona baba mpk wa watoto wakubwa waliokomaa😊 Ramadhani iii No matter what Nakutakia Happy Birthday MUNGU azidi kukuweka inshaalah uje mleane na mwanao sina zawadi kubwa zawadi yangu ni @jadenthegreatest na natumai ni zawadi ya milele na yenye historia kwako..Enjoy ur day@raythegreatest @raythegreate“ Ameandika



from MPEKUZI

Comments