Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekanusha taarifa iliyosambaa mtandaoni ambayo ilidai kuwa kutaja jina la kiongozi yeyote kwa utani kupitia sms faini yake ni Tsh. Milioni 5 au jela miaka mitatu.
TCRA imewataka wananchi kupuuzia taarifa hiyo ambayo inaonekana hapo chini.
Taarifa hii inayosambazwa mitandaoni haijatolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Ni tango pori na Mamlaka inafwatilia aliyetunga na kuisambaza. pic.twitter.com/Wk0Bb4IzeZ— TCRA_TANZANIA (@TCRA_Tz) March 17, 2019
from MPEKUZI
Comments
Post a Comment