Skip to main content
Msajili wa Vyama vya Siasa Alaani Kitendo cha Kuchoma Moto Bendera za Chama cha CUF
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, amelaani kitendo cha kuchomwa moto bendera za Chama cha Wananchi (CUF), kilichofanywa na baadhi ya waliokuwa wanachama wa chama hicho na baadaye kuhamia ACT-wazalendo
from MPEKUZI
Comments
Post a Comment