Msajili wa Vyama vya Siasa Alaani Kitendo cha Kuchoma Moto Bendera za Chama cha CUF

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, amelaani  kitendo cha kuchomwa moto bendera za Chama cha Wananchi (CUF), kilichofanywa na baadhi ya waliokuwa wanachama wa chama hicho na baadaye kuhamia ACT-wazalendo



from MPEKUZI

Comments