Ofa! Sale! Tumeshusha tena bei za Viwanja: Bunju na Mapinga

Ofa! Sale! Tumeshusha tena bei za Viwanja: Bunju na Mapinga

Kwa msimu huu wa sikukuu, tumeshusha sana bei za viwanja kwa Bunju na Mapinga ili kila Mtanzania mwenye uhitaji wa Ardhi (Kiwanja) apate kulipia haraka na kumilikishwa kiwanja chake. Ofa hii inaanza leo mpaka tarehe 30 dec

Kwa Mapinga vipo viwanja vifuatavyo:
sqm 400 (mita 20/20) kwa bei ya tsh 4,000,000/=
sqm 450 (mita 15/30) kwa bei ya tsh 4,500,000/=
sqm 800 (mita 20/40) kwa bei ya tsh 8,000,000/=
sqm 1120 (mita 32/35) kwa bei ya tsh 11,200,000/=
sqm 1364 (mita 35/38) kwa bei ya tsh 13, 640,000/=
sqm 1600 (mita 40/40) kwa bei ya tsh 16,000,000/=
sqm 1900 (mita 42/45) kwa bei ya tsh 19,000,000/=
sqm 2400 (mita 40/60) kwa bei ya tsh 28,000,000/=
sqm 3000 (mita 50/60) kwa bei ya tsh 34,000,000/=
Viwanja hivi viko umbali wa km 3 tu kutoka main road (Bagamoyo Road)

Kwa Bunju vipo viwanja 2 tu kama ifuatavyo:
sqm 600 kwa bei ya tsh 18,000,000/=
sqm 1700 kwa bei ya tsh 51,000,000/=
Viwanja hivi viko umbali wa km 1 tu kutoka main road (Bagamoyo Road)

Biashara hii haina dalali, mpigie mhusika: 0758603077, whatsap 0757489709


from MPEKUZI

Comments