Mbunge wa TEMEKE Abdallah Mtolea kwa tiketi ya CUF ametangaza kujiuzulu nafasi yake ya Ubunge na nafasi zote ndani ya chama kwa kile alichodai kuwa kumekuwa na migogoro ndani ya Chama chake, Mtolea ametoa tamko hilo ndani ya Bunge na kisha akatoka nje
from MPEKUZI
Comments
Post a Comment