Wema Sepetu Amwanika Mume Wake Mtarajiwa

Msanii wa Bongo Movie na aliyekuwa Miss Tanzania mwaka 2006 Wema Sepetu ameamua kumwanika hadharani  mume wake mtarajiwa kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Wema ameposti picha hiyo na mwanaume mmoja ambaye hakuweza kutambulika kwa haraka ingawa sura yake inaonekana,picha hiyo inaonekana kabisa Wema na mwanaume huyo wako kitandani wamelala ingawa mpiga picha ni Wema mwenyewe akipiga Selfie.

Wema Sepetu amefanikiwa kuwa kwenye mahusiano tofauti tofauti lakini hakuweza kudumu nao licha ya wengi kuonekana kama walikuwa na mahusiano ya kweli



from MPEKUZI

Comments