Mwanamke amwagiwa tindikali na mumewe

Jeshi la Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mwalimu wa shule ya sekondari Kanazi ya mkoani Kagera, Deogratias Bankana kwa kumwagia tindikali mkewe, Angel Francis kutokana na wivu wa mapenzi. 

Muathirika na mumewe wanaeleza kilichotokea hapo chini

Credit: Azam Tv


from MPEKUZI

Comments