Mwanamke amwagiwa tindikali na mumewe on October 14, 2018 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps Jeshi la Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mwalimu wa shule ya sekondari Kanazi ya mkoani Kagera, Deogratias Bankana kwa kumwagia tindikali mkewe, Angel Francis kutokana na wivu wa mapenzi. Muathirika na mumewe wanaeleza kilichotokea hapo chini Credit: Azam Tv from MPEKUZI Comments
Comments
Post a Comment