LIVE: Godbless Lema akizungumzia tukio la MO DEWJI kutekwa
on
Get link
Facebook
Twitter
Pinterest
Email
Other Apps
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema anazungumza na Waandishi wa Habari kuhusu tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara maarufu nchini Tanzania Mohamed Dewj na watu wasiojulikana wiki iliyopita ya october 11 2018 katika hotel ya Collesiums.
Comments
Post a Comment