IGP Simon Sirro, Makamanda wa polisi wapewa maagizo mazito

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro na Makamanda wote Nchini wameagizwa kuchukua hatua za kuwadhibiti baadhi ya maafisa wanaojihusisha na vitendo vya kupokea rushwa, ubambikizaji wa kesi kwa Wananchi, kutumia nguvu kupita kiasi pamoja na kutoa huduma hafifu kwa Wananchi.

Tazama Video Kamili Hapo Chini

Credit:Azam Tv


from MPEKUZI

Comments