Zoezi la uokoaji wa abiria waliokuwemo katika kivuko cha MV Nyerere kilichozama lilisitishwa jana usiku kutokana na giza na litaendelea tena leo ambapo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela amesema mpaka sasa watu waliookolewa wakiwa hai ni 37 na waliopoteza maisha ni 44.
from MPEKUZI
Comments
Post a Comment