Tazama Hapa Mfanyakazi wa Hoteli Alivyojipatia 500,000 Kirahisi Kabisa

Manford Mtwango mkazi wa Kitunda Dar es Salaam, alivutiwa na Mojaspesho tu baada ya kusikia matangazo akaamua na yeye ajiingize kwenye hii fursa. Baada ya muda wa miezi minne ya kucheza mpaka kieleweke, kweli kimeeleweka mwezi huu wa tisa.

Manford ni kijana wa miaka 39 tu, ni muajiriwa kwenye hoteli moja kubwa jijini Dar es Salaam ambaye kajishindi mshiko wa papo hapo wa laki tano.
 

“Sikuamini huu mchezo mpaka pale nilipo pigiwa simu nimeshinda. Mojaspesho ni mchezo wa kweli na mrahisi, ushindi ni wa kweli na mkubwa”  
 
Manford alipata ushindi wake baada ya kucheza namba zake spesho 164 kwenye droo za dakika kumi. Ushindi unanukia, usikate tama kwani hauwezi kujua bahati yako imejificha tarehe gani.

Nawe pia unaweza kuwa mshindi kila siku na jackpot ya kila wiki. Jinsi ya kucheza Mojaspesho ni rahisi
1. Nenda kwenye menu yako ya #Mpesa, #TigoPesa, #AirtelMoney au #Halopesa;
2. Chagua lipia bili
3. Ingiza kampuni namba 123255
4. Ingiza kumbukumbu namba zako 3 za bahati zikifuatiwa na neno SEE mf. 123SEE
5. Weka kiasi kuanzia sh 1000 na utakua umecheza #Mojaspesho.


from MPEKUZI

Comments