Mwanafunzi auawa kwa kisu kwenye kigodoro akigombea mwanamke

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikiliwa mwanafunzi anayetuhumiwa kumuua mwenzake mwenye umri wa miaka kumi na tisa wote wakiwa wanasoma Shule ya Sekondari Mteule akituhumiwa kumchoma kisu sehemu kifuani wakiwa kwenye kigodoro.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro Wilbroad Mutafungwa amemtaja aliyeuawa ni Abdulrahiman Daud aliyeshambuliwa kwa kile kinachodaiwa ugomvi wa kugombea mwanamke.

==>>Msikilize Kamanda Mutafungwa akongea hapo chini 


Credit: Azam Tv


from MPEKUZI

Comments