Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imesema kuwa imeshtushwa na taarifa zilizoandikwa na Gazeti la Mwananchi tarehe 17 Mei taarifa hizo si za kweli na zinapaswa kupuuzwa.
Taarifa ya BOT imeeleza kuwa Gazeti hilo lilidai kwamba imeongezeka Trilioni 12 katika deni la Taifa kati ya Disemba 2017 na March 2018 takwimu ambazo sio sahihi.
from MPEKUZI
Comments
Post a Comment