Hasheem Thabeet Amkumbuka Ex Wake Jokate Mwegelo

Mwanamichezo anayecheza mpira wa kikapu ‘basketball’ nje ya nchi, Hasheem Thabit amemkumbuka aliyekuwa mpenzi wake mrembo Jokate kwa kumpa Zawadi siku ya birthday yake.

Hasheem alijzolea umaarufu baada ya kuanza kucheza basketball katika ligi ya NBA nchini Marekani miaka ya nyuma. Hivi sasa Hasheem anacheza basketball nchini Japan.

Hasheem na Jokate walikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa zaidi ya miaka mitatu na baadae kuweka wazi kuwa wameachana lakini Siku chache zilizopita ilikuwa ni birthday ya Jokate na Hasheem alimpa zawadi ya maua rose.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram Jokate alianika zawadi hiyo aliyopewa na Ex boyfriend wake na kuandika maneno ya shukrani:


from MPEKUZI

Comments