LIVE: Hafla Ya Uwekaji Jiwe La Msingi Ujenzi Wa Meli Mpya , Chelezo Na Ukarabati Wa Mv Victoria Na Butiama

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli anaweka Jiwe la Msingi miradi ya Ujenzi wa Meli Mpya , Chelezo na Ukarabati wa M.V  Victoria  na M.V Butiama katika Ziwa Victoria Jijini Mwanza. Sherehe zinazofanyika Katika Bandari ya Igogo Jijini Mwanza.


from MPEKUZI

Comments