Nyumba ya Biashara Inauzwa: Tabata Relini (DSM)

Nyumba ya Biashara Inauzwa: Tabata Relini (DSM)


Nyumba ina vyumba 6, iko main road (Tabata Reli)
Nyumba ina kiwanja cha sqm 400 kinafaa kwa kujenga jengo la Biashara (commercial building)

Bei ya nyumba hii ni tsh 105 milion na maongezi yapo.
Call 0758603077


from MPEKUZI

Comments