Maombi ya Kujiunga Vyuo Vikuu Kuanza Rasmi Jumatatu July 15.....Soma Hapa Taarifa Rasmi ya TCU

Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Profesa Charles Kihampa amezungumzia wahitimu wanaohitaji maombi ya Vyuo vya Elimu ya Juu kuzingatia umakini katika uombaji kwa sababu hakuna kubahatisha.

Prof.Kihampa amesema wanaoomba maombi hayo wanapaswa kuomba kupitia tovuti za Vyuo husika na yatafanyika kwa njia ya Elektroniki.



from MPEKUZI

Comments