Rais Mstaafu Kikwete Amjulia Hali DC Kasesela Aliyelazwa Taasisi Ya Moyo Ya Jakaya Kikwete (JKCI)
on
Get link
Facebook
Twitter
Pinterest
Email
Other Apps
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Mhe. Jakaya Kikwete akizungumza na mkuu wa wilaya ya Iringa Mhe. Richard Kasesela kwenye taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipolazwa kwa matibabu.
Comments
Post a Comment