Naibu Waziri: Askari Polisi anamamlaka ya Kusimamisha, kukagua na kukamata chombo barabarani

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,imesema Sheria ya Usalama Barabarani sura ya 168 iliyorejewa 2002 inampa Mamlaka askari polisi kusimamisha chombo chochote barabarani na kukikagua na hatimaye kukizuia na kukikamata.

Hayo yameelezwa Leo Mei 20 Bungeni na Naibu Waziri wa Wizara hiyo,Hamadi Masauni wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum,Rehema Juma Migilla (CUF).

Katika swali lake,Migilla alitaka kujua ni kwanini askari polisi wanapowakamata huchukua baadhi ya vifaa.


from MPEKUZI

Comments