Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli Amteua Bw. Hassan Abeid Mwang’ombe kuwa PostaMasta Mkuu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Hassan Abeid Mwang’ombe kuwa PostaMasta Mkuu.

Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Mwang’ombe umeanza tarehe 12 Machi, 2019.

Kabla ya uteuzi huo, Mwang’ombe alikuwa akikaimu nafasi hiyo.



from MPEKUZI

Comments