Rais Magufuli jana March 20, 2019 amefanya mazungumzo na Kansela wa Ujerumani Angela Merkel, kwa njia ya simu.
Taarifa iliyotolewa na Ikulu inasema, amemhakikishia Rais Magufuli kuwa Ujerumani ipo tayari, kukuza zaidi uhusiano wake na Tanzania hususani juhudi za kuimarisha uchumi.
from MPEKUZI
Comments
Post a Comment