Wema Sepetu afunguliwa rasmi na bodi ya filamu on February 18, 2019 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps Bodi ya Filamu Tanzania imetangaza leo kumfungulia kuendelea na kazi za sanaa Muigizaji Wema Sepetu Wema alifungiwa kutojihusisha na kazi za filamu kwa muda usiojulikana kutokana na video iliyosambaa ya kukiuka maadili ya kitanzania. from MPEKUZI Comments
Comments
Post a Comment