PICHA: Halima Mdee Mbele Ya Kamati Ya Bunge Ya Haki, Maadili Na Madaraka Akihojiwa

Mbunge wa kawe Halima Mdee Leo januari 22 amefika mbele ya kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwaajili ya kuhojiwa na kujibu tuhuma zinazomkabili kuhusu kauli aliyitoa hivi karibuni ya kuliita Bunge Dhaifu



from MPEKUZI

Comments