Skip to main content
PICHA: Halima Mdee Mbele Ya Kamati Ya Bunge Ya Haki, Maadili Na Madaraka Akihojiwa
Mbunge wa kawe Halima Mdee Leo januari 22 amefika mbele ya kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwaajili ya kuhojiwa na kujibu tuhuma zinazomkabili kuhusu kauli aliyitoa hivi karibuni ya kuliita Bunge Dhaifu
from MPEKUZI
Comments
Post a Comment