LIVE: Rais Magufuli kwenye Mkutano wa Sekta ya Madini on January 22, 2019 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania leo anahudhuria katika Mkutano wa wachimbaji, wafanyabiashara na wadau wa sekta ya madini. Mkutano huo unafanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu J.K Nyerere – Dar es salaam. from MPEKUZI Comments
Comments
Post a Comment