NECTA: Wanafunzi waliojitokeza kufanya mitihani ni zaidi ya tuliotarajia
on
Get link
Facebook
Twitter
Pinterest
Email
Other Apps
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limesema idadi ya wanafunzi waliojitokeza kurudia mtihani wa darasa la saba kwa tarehe 8 na 9 mwezi huu ni zaidi ya idadi iliyotarajiwa na baraza hilo na usimamizi wa sasa uliimarishwa zaidi.
==>>Msikilize Katibu mkuu NECTA akiongea hapo chini
Comments
Post a Comment