MAAJABU…. Jogoo aliyenyonyolewa manyoya na kuvishwa 'hirizi' Kanaswa Stendi Ya Mabasi Tabora on October 18, 2018 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps Shuhudia jogoo aliyenyonyolewa manyoya yote akiwa hai na kuzua mshangao katika Stendi ya mabasi mkoani Tabora. Meneja wa Kituo hicho kaamua kumchukua na kumgeuza kitoweo bila kuogopa hayo mahirizi yake. Tazama apo chini from MPEKUZI Comments
Comments
Post a Comment