Kumvuta Mpenzi Kwa Kutumia Mshumaa


Hii ni mojawapo ya njia za kumvuta mpenzi au kumrudisha mpenzi aliyetoroka au kuchukuliwa na mtu.


Chukua Mshumaa Mweupe, chagua ule ambao utayeyuka upesi kwa sababu utakapouwasha unatakiwa uwe unauangalia mpaka umalizike, usichukue mshumaa utakaowaka kwa masaa 24, Hakikisha mshumaa unakuwa mnene. 


Andaa sehemu utakapofanyia kazi ndani ya chumba.Tandika kitambaa cheupe, andaa sehemu nzuri ya kuweka mshumaa ili usianguke, na uweke chochote kinachomuhusu huyo unayemtaka umdhibiti akiwa mpenzi au bosi wako au yoyote yule. Unaweza kuweka picha yake, nguo yake, nywele zake, kucha, au kitu chake chochote ambacho aidha amekivaa au amekishika.

Mshumaa utakaotumia unatakiwa uandikwe maneno yafuatayo mara tatu, (3) "Mapenzi yako yote yaje kwangu" Maandishi hayo uyaandike kwa kutumia mwiba wa Mti wa Waridi au unaweza kutumia pini.


Kazi hi inatakiwa ifanyike usiku wa kuamkia ljumaa, kuanzia saa sita na dakika moja na kuendelea, na imalizike kabla ya jua halijatoka.


 Weka mshumaa kati kati ya kitamaba cheupe na uuwashe, Katika kipindi ambao mshumaa unawaka unatakiwa uuangalie mshumaa huo huku ukisema kwa sauti ndogo jinsi unavyotaka mapenzi kutoka kwa huyo unayemfanyia kazi au namna utakavyomdhibiti, useme unataka nini kwake. 

Awe vipi kwako. baada ya nusu saa ya kazi hiyo ondoka lala na uwache mshumaa uwake wenyewe mpaka utakapomalizika.

Mshumaa unapokwisha chukua mabaki yake na uyafunge na kitambaa cheupe ambacho ulikikalia wakati ukifanya kazi yako na uyahifadhi mabaki hayo mahala salama ambapo mtu yoyote hatayaona. 


Baada ya hapo toka Nje, elekea Kaskazini na ita jina la unayemkusudia mara saba (7) na urudi ndani bila kuangalia nyuma. 

Matokeo ya kazi hiyo ni kuwa utapata unachokitaka kutoka kwa huyo uliyemkusudia bila kukosa, Mapenzi yanaweza yakawa makubwa sana au yakawa ya kawaida, ila wewe ridhika na mapenzi yake na muonee huruma na uwe mkarimu kwake. 

Ikiwa imetokea hapo baadae wewe ukawa hutaki tena kuwa na huyo uliyemkusudia unaweza ukavunja penzi hilo kwa njia rahisi tu, inategemea na unavyotaka wewe... 

Wasiliana Chief Sultan kwa msaada zaidi +255 769160792


from MPEKUZI

Comments