Baada ya CHADEMA kulalamika kuwa mawakala wake wamezuiliwa katika baadhi ya vituo vya kupigia kura Monduli, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC) Jaji Semistocles Kaijage amekanusha na kusema mawakala wanne wamekataliwa kwasababu wamekwenda tofauti na walioapishwa.
from MPEKUZI
Comments
Post a Comment