Viwanja Villvyopimwa Kwa Makazi.

Viwanja Salama vilivyopimwa Kwa ajili ya makazi, vipo Vikubwa sqm 3200 Bunju masait pembeni ya Bagamoyo road Bei million 95 ,kina fence na geti pande mbili hati mkononi view nzuri ya Bahar..... Kwa umbali ,jirani mita 200 kutoka Bunju bus stand na soko la Bunju pia jirani na kituo kipya cha mafuta na mall mpya, nyumba ya mlinzi ipo,price negotiable,(2) sqm 3018 kipo level njia ya Baobab km 2 tu kutoka Bagamoyo road .

Jiran block street na kiwanda kipya cha matunda umeme maji vipo na majirani wamejenga vizuri,(3) sqm 500 hadi 1200 hapa Kerege jiran na kanisa la Roma na mahakama,mita 600 kutoka Bagamoyo road ardhi ipo level,(4) sqm 400 hakijapimwa 

Kipo mjini jiran na block street majirani wamepiga fence km 2kutoka Baobab secondary mita 200kutoka barabara ya vikawe na mita 50 kutoka tank la maji hapa umeme maji na kanisa vipo Bei Tsh million 4.5 ...Maongezi yapo.

 Kwa mawasiliano piga 0677705808. Karibuni sana

Viwanja vya Karege


from MPEKUZI

Comments