Tume Ya Uchaguzi Yaujibu Ubalozi wa Marekani Sakata la Uchaguzi wa Marudio Kuwa na Dosari

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imekiri kuona tamko lililotolewa na Ubalozi wa Marekani Tanzania kupitia tovuti yake  linalohusu uchaguzi mdogo uliofanyika  Agosti 12 mwaka huu.

Taarifa hiyo ya Ubalozi ilionesha masikitiko makubwa kuhusu namna mchakato wa uchaguzi katika Kata 36 na Jimbo la Buyungu ulivyofanyika.

NEC imeutaka Ubalozi wa Marekani nchini uthibitishe madai yao kuhusu uchaguzi mdogo wa jimbo la Buyungu na kata 36.

==>>Hili ni tamko la NEC


from MPEKUZI

Comments